Aslay-CHUKI Lyrics

Share:
Aslay-CHUKI Lyrics

Aslay-CHUKI Lyrics

Olalalala 

Maadui  
Wamenizidi pesa na umri 
Nashangaa 
 Sijui au tuseme nina kiburi

 Nakataa 
Hawanidai siwadai
  Ila nashangaa wananichukia aah 
Chuki zisizo sababu 

Wanachinja mbuzi kafara 
Ili Aslay apotee 
Ona wanavyo mwaga hela 
Eeh Mungu baba unitetee 

Wanamiliki mavogi vogi 
Wanashindana na mi-Dangote
 Wanawish hata niishiwe kodi 
Nitange tange wanizomee 

Mi mnyonge  
Nimlilie nani kama si wewe?
 Kisa tonge  
Wanapangia waniondoe

 Ila mi najikaza hivyo 
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo 
Mi najikaza hivyo 
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo

 (Wanasema nalewa)

 Mi najikaza hivyo 
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo 
Mi najikaza hivyo 
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo 

(Eti Aslay kaishiwa) 

Mafungu saba  
Ridhiki unagawa tu maanani 
Wengine labda 
Wanataka kushindana na wewe

 Mmh mpaka napiga magoti(Magoti) 
Namlilia mama(Mama) 
Kisha narudi kwako 
Umlaze salama  

Sawa nyinyi manoti noti 
Tutakutana kiama 
Mnyonge narudi kwako 
Kwako Maulana 

Wanachinja mbuzi kafara 
Ili Aslay apotee 
Ona wanavyo mwaga hela 
Eeh Mungu baba unitetee 

Wanamiliki mavogi vogi 
Wanashindana na mi-Dangote 
Wanawish hata niishiwe kodi 
Nitange tange wanizomee 

Mi mnyonge  
Nimlilie nani kama si wewe? 
Kisa tonge  
Wanapangia waniondoe 

Ila mi najikaza hivyo
 Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo 
Mi najikaza hivyo 
Mi najikaza, najikaza hivyo hivyo

 (Wanasema nalewa)

No comments