Rayvanny ft Diamond Platnumz-TIMUA VUMBI Lyrics
Kimbunga hicho Kimbunga hicho Kimbunga hicho Yaani tunazoa zoa
Its S2kizzy beiby
Mwaga jasho miguu iwake moto Timua vumbi, timua!
Kisigino kibebwe na ugoko Timua vumbi, timua!
Ruka ruka tusiamshe popo Timua vumbi, timua!
Vua shati ukisikia joto Timua vumbi, timua!
Saa tunakisanua, vumbi! Tunawachafua, vumbi!
Tunawapa mafua, vumbi! Vumbi, timua vumbi!
Tunakata funua, vumbi! Wakazingua, vumbi!
Tunawapa mafua, vumbi! Vumbi, timua vumbi!
Wanatukimbiza Wasafi eeh
Wapo makundi makundi
Lakini hawatupati eeh
Tunawaachia vumbi
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Oooh kama mashine ya koboa mpunga
Timua vumbi, timua!
Aah Tsunami changanya na kimbunga
Timua vumbi, timua!
Kama gwaride ka la jeshi, timua
Kwa mchanga simiti, timua
Chana jamvi kapeti, timua
Timua vumbi, timua
Timua mchanga Kama unalicheza vanga
Mzuka ukipanda
Vua shati kama mwanga
Timua mchanga Kama unalicheza vanga
Mzuka ukipanda Vua shati kama mwanga
Asa kachili saga, saga saga
Kamatia zaga, zaga zaga
Nisugulie gaga, gaga gaga
Kinaga ubaga, twende Timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Mwendo kama farasi
Ooh ooh tunawatimua timua!
Kasi kama risasi
Ooh ooh tunawatimua timua!
Tuko nduki kibati
Ooh ooh tunawatimua timua!
Hawatukamati
Ooh ooh tunawatimua timua!
Shika! Hasa kitimue, timu! timu!
Yaani chimba, timu timu!
Fukua fukua, timu! timu!
Chimba chimba, timu! timu!
Eeeh vidole chepeo, timu! timu!
Kiuno mpini, timu! timu!
Fanya kama goleo, timu! timu!
Ifukue kwa chini, timu! timu!

No comments