PETER BLESSING-NASUBIRI BADO Lyrics
Oooh ooh oooh, yeah yeah yeah Peter Blessing yeah Eeeya mmh
Kutwa nzima imepita Nikiwa sina hata cha mfukoni Naumia hakika, kwani hata marafiki Hao siwaoni
Kwenye wingu la giza Sijapata hata faraja tumboni Koroboni ndio stima Namweleza yule aonae toka moyoni
Maisha haya ya kizungu nzungu Ni wapi tena? Sina pa kutorokea(mmh mmh) Kwenye giza sioni nuru Ni nini chanzo? Nabaki nikijiongelea
Kama namwona mamangu Uchochole ndo wimbo na ndo kikwazo Mi peke yangu Kwa hakika naangaziwa saana
Machozi ndo yangu Hata kunivika cha chini Mola wangu pato Eeeh Mola wangu Eeh eeh eeeh, Mwenyezi mimi
Mwenyezi! Nasubiri bado Mwenyezi! Nasubiri bado Mwenyezi! Nasubiri bado Nangoja kwako
Mwenyezi! Nasubiri bado Mwenyezi! Nasubiri bado Mwenyezi! Nasubiri bado Nangoja kwako
Mbona mawazo yangu ndo hivyo Katu sikosi kufikiria Masikini moyo wangu Mmmh...mmmh
Tena mzigo wangu mzito Sina hata wa kunisaidia Naja kwako Mola wangu
Aah maumivu yangu yalokolea Toka zama sichoki kusota Dili zangu za kutegea Mara napata, saa ingine nakosa
Nyumbani nategemewa Wamechoka wa kunikopesha Wazidi niombea Wasikate tamaaa..ooh ooh ooh
Kama kufunga sio mwanzo Ni mtindo Mpaka nashindwa nini ndo chanzo Ndio maana nimeandika huu wimbo
Mmmh matatizo Yasokosa likizo Kilio ndio wangu mtindo Ni maji yamefika kwa shingo
Kama namwona mamangu Uchochole ndo wimbo na ndo kikwazo Mi peke yangu Kwa hakika naangaziwa saana
Machozi ndo yangu Hata kunivika cha chini Mola wangu pato Eeeh Mola wangu Eeh eeh eeeh, Mwenyezi mimi
Mwenyezi! Nasubiri bado Mwenyezi! Nasubiri bado Mwenyezi! Nasubiri bado Nangoja kwako
Mwenyezi! Nasubiri bado Mwenyezi! Nasubiri bado Mwenyezi! Nasubiri bado Nangoja kwako
Kupambana kidume(Sichoki) Sala zangu nitume(Sichoki) Siwasikizi wengine(Sichoki) Iko siku nitapata
Mwenyezi! Nasubiri bado Mwenyezi! Nasubiri bado Mwenyezi! Nasubiri bado Nangoja kwako
Mbona mawazo yangu ndo hivyo Katu sikosi kufikiria Masikini moyo wangu Mmmh...mmmh
Tena mzigo wangu mzito Sina hata wa kunisaidia Naja kwako Mola wangu
Aah maumivu yangu yalokolea Toka zama sichoki kusota Dili zangu za kutegea Mara napata, saa ingine nakosa
Nyumbani nategemewa Wamechoka wa kunikopesha Wazidi niombea Wasikate tamaaa..ooh ooh ooh
Kama kufunga sio mwanzo Ni mtindo Mpaka nashindwa nini ndo chanzo Ndio maana nimeandika huu wimbo
Mmmh matatizo Yasokosa likizo Kilio ndio wangu mtindo Ni maji yamefika kwa shingo
Kama namwona mamangu Uchochole ndo wimbo na ndo kikwazo Mi peke yangu Kwa hakika naangaziwa saana
Machozi ndo yangu Hata kunivika cha chini Mola wangu pato Eeeh Mola wangu Eeh eeh eeeh, Mwenyezi mimi
Mwenyezi! Nasubiri bado Mwenyezi! Nasubiri bado Mwenyezi! Nasubiri bado Nangoja kwako
Mwenyezi! Nasubiri bado Mwenyezi! Nasubiri bado Mwenyezi! Nasubiri bado Nangoja kwako
Kupambana kidume(Sichoki) Sala zangu nitume(Sichoki) Siwasikizi wengine(Sichoki) Iko siku nitapata

No comments